Wednesday, September 12, 2012

WAKATI WA KEKI KATIKA BIRTHDAY YA LILIAN

huo ndio mguu wa dj mapo aliyepata ajali na kwa sasa anapata matibabu hospitali ya rufaa bugando.
hiyo ndo keki aliyoandaliwa lilian.
kushoto ni dj mapo  wa pili  dj lima  wa pili kulia lilian.
anayefungua shampeni anaitwa ruzindane.
aliyesimama baada ya birthday  kijana huyo dj mapo alipata ya ajali ya kugongwa na gari mkendo na kuvunjika mguu .


akiwalisha keki waliohudhuria hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment