
del piero akikabidhiwa jezi no10
Alessandro Del Piero amekamilisha uhamisho wake kwenda Sydney FC ya Australia, licha ya awali kuwepo tetesi angetua Liverpool.
Mshambuliaji huyo mkongwe mwenye umri wa miaka 37 aliyewika Juventus amethibitisha uhamisho huo leo mjini Turin katika Mkutano na Waandishi wa Habari.
"Nina furaha kusaini Sydney na kwa miaka miwili ijayo nitacheza nao," aliwaambia Waandishi wa Habari Del Piero leo.
chanzo bin zubeiry.blogspot.com
No comments:
Post a Comment