Thursday, September 6, 2012

DEL PIERO ATUA SYDNEY FC

  Aussie rules: Alessandro Del Piero has signed a two-year deal with Sydney FC
 del piero akikabidhiwa jezi no10
 
 
Alessandro Del Piero amekamilisha uhamisho wake kwenda Sydney FC ya Australia, licha ya awali kuwepo tetesi angetua Liverpool.
Mshambuliaji huyo mkongwe mwenye umri wa miaka 37 aliyewika Juventus amethibitisha uhamisho huo leo mjini Turin katika Mkutano na Waandishi wa Habari.
"Nina furaha kusaini Sydney na kwa miaka miwili ijayo nitacheza nao," aliwaambia Waandishi wa Habari Del Piero leo.
 
chanzo bin zubeiry.blogspot.com

No comments:

Post a Comment