Monday, September 24, 2012

SIMBA YAZIDI KUCHANJA MBUGA KATIKA LIGI KUU

Shomari kapombe na haule kipawa ruvu shooting uso kwauso jana ligi kuu vodacom bara.
Felix sunzu aanza kazi simba baada ya kupachika bao lake la kwanza katika ligi kuu vodacom bara jana
Mrisho khalfan ngassa azidi kuchanua msimbazi.
Ronardo de lima anavyoonekana sasa hivi kiasi cha kuwafanya dr wake kujalibu kupunguza mafuta mwilini baada ya kuweka madaluga juu.

No comments:

Post a Comment