Thursday, November 8, 2012

siku ya walipa kodi mkoani mara

katibu wa chama cha wanahabri berdina akipokea kombe baada ya timu ya wahandishi wa habari kuibuka kidedea kwa kuifunga timu ya TRA mabao 2-1  

mwanafunzi wa mwenbeni secondri akipokea zawadi baada ya kuwa mshidi wa maswali mbalimbali kuhusu TRA.

kamanda g.marato akipokea zawadi kwa niaba ya ITV.

armasi kutoka TBC 1 nayeakipokea zawadi.
mgeni rasmi wa sherehe hiyo ameshukulu kusikia TRA imevuka marengo kwa kufikisha shilingi bilion 23 kuanzia july 2012 mpaka 0ct na malengo yalikuwa ni sh bilion 22 tu pia amesema kuwa TRA watafute mbinu mbala ya ukusanyaji wa kodi ya mamapato,ametoa pongezi kwa mwekezaji wa mugumu serengeti grumet kuwa mshindi wa jumla kwa miaka miwili mfululizo pia wilaya iliyo ongoza kwa kukusanya kodi ya mapato ni wilaya ya tarime.
meneja wa TRA mara akisoma taarifa mbele ya mgeni rasmi.

No comments:

Post a Comment