mbunge wa kawe kupitia CHADEMA na waziri kivuli wa aridhi na makazi Halima mdee leo ametoa hoja yake binafsi akiitaka serikali kusimamisha mara moja zoezi la uwekezaji wa aridi wa kigeni na wa ndani kusimamishwa maramoja na kuitaka serikali kufanya uchuguzi wa udanganyifu na ubadhilifu unao fanyika kuwekwa wazi wabunge mbalimbali wanechangia hoja hio na kutoa azimio. |
No comments:
Post a Comment