mtummoja jisia ya kiume asiyefahamika kwa jina aliuwa na wananchi wenyehasila kali baada ya kukutwa akiiba mabati toka kwenye jengo la mtu aitwaye JUMANNE KAGOSI,mnamo tarehe 29/11/2012 majira ya saa 04.00 usiku katika kijiji cha kwangwa kata ya kigera manispaa ya musoma mkoa wa mara.
akizungumza na waadishi wa habari ofisini kwake kamanda wa polisi mkoa wa mara S.A.C.P ABSALOM .A.MWAKYOMA amesema kuwa upelelezi unaendelea kubaini waliohusika na tukio hilo,na kuwakamata ili hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kuwafikisha mahakamani zichukuliwe.
pia kamanda wa polisi mkoa wa mara anatoa wito kwa wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi.
na wilayani serengeti mugumu katika kijiji cha soguti kata ya ikorongo tarafa ya Ngoreme bw MWITA NYAITATI CHACHA umri wa 35,mkulima wa suguti aliuwawa kwa kukatwakatwa na mapanga kichwani
mkono wa kushoto na mkono na mguu wa kulia na wananchi waliojichukulia sheria mkononi.
hayo yamesemwa leo na kamanda wa polisi mkoa wa mara ABSALOM .A.MWAKYOMA ofisini kwake
amesema kuwa chanzo cha tukio ni baada ya marehemu kukamatwa na ng"ombe ya wizi mali ya PHILIMON MUNDU wa kijiji cha musati uchunguzi wa tukio hilo unaendelea.
Thursday, November 29, 2012
Thursday, November 22, 2012
pikipiki za kubebea wa gonjwa.zageuzwa makumbusho musoma (v)
Wednesday, November 21, 2012
pendo malima asimulia kichapo alichopata kutoka kwa mumewe
pendo akiwa na mama yake monica malima wodini |
Friday, November 16, 2012
TUME YA KATIBA YAANZA KAZI MKOA WA MARA
Emmanuel bwimbo wa mrpc na beldina nyakeke |
maxmilia ngessi wa rfa, fazeli janja wa kulikoni na veronica wa majira,frolence wa nipashe na george marato wa itv |
ghati,bigambo jeje wa( voa) na pascal buyaga wakimsikiliza rc wa mkoa |
Wednesday, November 14, 2012
WAKENYA WAZINDUA HUDUMA YA TRENI JIJI NAIROBI
Tuesday, November 13, 2012
Thursday, November 8, 2012
HALIMA MDEE NA HOJA BINAFSI BUNGENI
siku ya walipa kodi mkoani mara
katibu wa chama cha wanahabri berdina akipokea kombe baada ya timu ya wahandishi wa habari kuibuka kidedea kwa kuifunga timu ya TRA mabao 2-1 |
mwanafunzi wa mwenbeni secondri akipokea zawadi baada ya kuwa mshidi wa maswali mbalimbali kuhusu TRA. |
kamanda g.marato akipokea zawadi kwa niaba ya ITV. |
armasi kutoka TBC 1 nayeakipokea zawadi. |
meneja wa TRA mara akisoma taarifa mbele ya mgeni rasmi. |
Subscribe to:
Posts (Atom)