Wajumbe wa ccm wilaya ya misungwi leo hii wamepata ajali maeneo ya buhongwa iliyopo katika wilaya nyamagana walipo kuwa wakielekea katita uchaguzi mkuu ngazi ya mkoa wa mwanza majira ya saa 3.00 za asubuhi ambapo deleva wa basi hilo amepoteza maisha hapo hapo na wajumbe takriban saba nimajelui wako katika hospitali ya bugando kwa matibabu zaidi. |
|
|
|
No comments:
Post a Comment